Sat, 19 May 2012

PAROKIA YA MAFINGA


S.L.P 21 –MAFINGA

“Bikira Maria Aliyepalizwa Mbinguni”

Masista waliozaliwa Parokia ya Mafinga ni wafuatao;

JINA KIGANGO
Sr. Metilde Chavala CST Ndolezi
Sr. Emanuela Mkonda CST Ndolezi
Sr. Anjelita Ng’owo CST  Isalavanu
Sr. Emma Mdalingwa CST  Isalavanu
Sr. Carmelita Mselu CST  Isalavanu
Sr. Anna Rosa Mdalingwa CST  Isalavanu
Sr. Jane Ngombe CST  Isalavanu
Sr. Fadhili Mnyifuna CST  Isalavanu
Sr. Eleonora Ngamunga CST Mtula
Sr. Seraphina Mapile CST Ulole
Sr. Lidia Mangula CST Ulole
Sr. Evelina Mdemu CST  Ikongosi
Sr. Salome Nyitala CST  Ikongosi
Sr. Leonardina Kisapi CST Ikongosi
Sr. Maria Esta Mgina CST Ikongosi
Sr. Teresia Mligo CST  Ifwagi
Sr. Delfinga Mdemu CST  Ifwagi
Sr. Carmelita Tossi CST Mafinga
Sr. Carmelita Sule CST Mamba
Sr. Yasinta Mgaya CST Mafinga
Sr. Esta Chumi CST Mafinga
Sr. Christina Chulaa Changarawe OSB
Sr. Rita Kihwele Changarawe ,B.M.
 Sr. Stella Kikoti Changarawe ,B.M.
Sr. Rita Kihwele Changarawe ,B.M.
Sr. Stella Mdalingwa Isalavanu, B.M.
Sr. Felista Sombe Nundwe, B.M.
Sr. Chezarina Kitalika Nundwe, B.M.
Sr. Bakita Nyenzi Mwitikilwa, B.M.
Sr. Josephina Mwakalukwa Changarawe ,Shirika la Migoli
Sr. Patricia Kabonge Changarawe, St. Vincent de Paul
Sr. Sara Kihwele Changarawe, OSB Imiliwaha Njombe

 Mabrudha waliozaliwa Parokia ya Mafinga ni wafuatao;
Gaudenzio Kigahe OSB – kigango cha Ikongosi - (Monasteri ya Hanga)

Waseminari wakubwa wa Parokia ya Mafinga ni wafuatao;
Sostenes Ndendia – Changarawe, Shirika la Damu Takatifu ya Yesu (Seminari kuu-Morogoro)

UCHUMI
Mazao ya chakula ni mahindi, viazi
Mazao ya biashara ni mahindi
Wakulima wanatumia majembe hasa katika kilimo, kidogo materekta na plau za ng’ombe

A. BIASHARA
Biashara kubwa katika Parokia ni mbao. Biashara hii ipo mwaka mzima.
Kuna wafanyabiashara wengi wanaouza bidha za kawaida madukani.
Wafanyabiashara wanakumbwa na hali duni ya watu ambao wanashindwa kununua bidha za kisasa. Zaidi wafanyabiashara wanauza bidha za kila siku.

B. UFUGAJI
Katika Parokia yetu kuna wafugaji wa ng’ombe, nguruwe, mbuzi, kuku. Wafugaji wengi hawategemei moja kwa moja mifugo yao bali wengi wanafuga kama mradi nyongeza. Hivi katika eneo la Parokia kuna upungufu wa mifugo.

HITIMISHO

Mapendekezo yangu ili kuboresha utume wa Parokia ni kuwa na masista wenye elimu ya kutosha ili waweze bega kwa bega kushirikiana na mapadre katika utume, hasa mafundisho ya vipindi mashuleni. Watu wa Parokia ya Mafinga wanaridhika na huduma wanayopewa. Wakristo wamepata mwamko mkubwa kusali kanisani. Hata hivyo maeneo mengi ya Parokia waamini hawatii maanani katika Jumuiya Ndogo Ndogo. Si wengi wanaojiunga na Vyama vya kitume, waamini wengi hawalipi zaka ingawa wanahimizwa mara nyingi. Parokia ya Mafinga inageuka kuwa Parokia ya mjini na si tena ya missioni.

1 | 2 | 3 | 4 | 5